Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amehutubia kikao cha Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran na maafisa na wafanyakazi wa chombo hicho akisema matokeo ya kusimama kidete mbele ya maadui ni kupata ushindi na maendeleo. Katika kikao hicho, Ayatullah Ali Khamenei amefafanua kanuni zisizobadilika za Mwenyezi Mungu katika jamii na kusema: Sababu ya ushindi wa kustaajabisha…