#Madagascar

Vifo vya kimbunga cha tropiki cha Cheneso vyaongezeka nchini Madagascar

Vifo vya kimbunga cha tropiki cha Cheneso vyaongezeka nchini Madagascar

Idadi ya vifo imeongezeka na kufikia watu 16 huku watu wengine 19 wakiwa bado hawajulikani walipo baada ya dhoruba kali ya kimbunga cha tropiki iliyopewa jina la Cheneso kuipiga Madagascar. Hayo ni kwa mujibu wa taarifa ya jana Alkhamisi iliyotolewa na Ofisi ya Taifa ya Kudhibiti Hatari na Majanga ya nchi hiyo, (BNGRC). Taarifa ya…