Songwe. Waziri wa Madini, Dk Dotto Biteko amesema Serikali inatarajia kusafirisha tani 60,000 za makaa ya mawe kupelekwa nje ya nchi baada wa Shirika la Madini Taifa (Stamico) kuanza uzalishaji katika mgodi wa Kiwira-Kabulo Wilaya ya Ileje Mkoa wa Songwe. Dk Biteko amesema hayo leo Jumamosi Julai 2, 2022 alipofanya ziara kukagua miundombinu katika mgodi…