#maduro

Maduro: Maneno ya kiongozi wa Iran yalinitia nguvu

Maduro: Maneno ya kiongozi wa Iran yalinitia nguvu

Baada ya kukutana na Ayatullah Khamenei, rais wa Venezuela alisema katika ujumbe wake: Maneno ya kiongozi huyo wa Iran yalinitia nguvu. Rais wa Venezuela Nicolas Maduro ameandika katika ujumbe wake wa Twitter akizungumzia mkutano wake na kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran: “Nilikuwa na mkutano uliojaa mambo ya kiroho na hekima pamoja na kiongozi…

Maduro atarajiwa kuizuru Tehran siku ya Jumamosi

Maduro atarajiwa kuizuru Tehran siku ya Jumamosi

Rais wa Venezuela atarajiwa kufanya ziara rasmi mjini Tehran akibeba ujumbe wa ngazi za juu za kisiasa na kiuchumi. Rais wa Venezuela Bw. Nicolas Maduro anatarajiwa kuwasili mjini Tehran mapema siku ya Jumamosi asubuhi kufuatia mwaliko rasmi kutoka kwa Rais Ayatollah Seyyed Ibrahim Ra’isi akibeba ujumbe wa ngazi za juu kutoka kwa maafisa wa kisiasa…