#Magaidi

Magaidi washambulia kituo cha kijeshi katika mpaka wa Niger

Magaidi washambulia kituo cha kijeshi katika mpaka wa Niger

Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, kundi moja la kigaidi limekishambulia kituo cha jeshi la Niger karibu na mpaka wa nchi hiyo na Chad. Mashambulizi ya kigaidi yaliyoigubika Nigeria tangu mwezi Mei mwaka 2013 hadi sasa yamepelekea maelfu ya watu kuwa wakimbizi, kuibua njaa, kuongezeka umaskini n.k.  Mashambulizi ya awali ya kigaidi yaliikumba Nigeri…