#Magendo

Magendo ya binadamu yameongezeka mara 26 katika mpaka hatari zaidi duniani

Magendo ya binadamu yameongezeka mara 26 katika mpaka hatari zaidi duniani

Wizara ya usalama wa ndani ya Marekani imetangaza kuwa, pato linalopatikana katika biashara haramu ya magendo ya binadamu inayofanywa kupitia mpaka wa pamoja wa nchi hiyo na Mexico, ambao ni mpaka hatari zaidi duniani, limeongezeka kutoka dola milioni 500 mwaka 2018 na kufikia dola bilioni 13 kwa sasa. Tovuti ya gazeti la New York Times…