Mvutano kati ya Morocco na Algeria umeongezeka tangu ziara ya hivi majuzi ya Waziri wa Vita wa Israel Benny Gantz nchini Morocco na kutiwa saini mkataba wa ushirikiano wa kiusalama kati ya pande hizo mbili, kulingana na Shirika la Habari la Fars. Gazeti la Kizayuni la “Jerusalem Post” lilijibu ripoti ya gazeti la Ufaransa la…