Nuru ya umaanawi ya uwepo wa Imam Mahdi ATF imeenea hata katika wakati huu wa “ghaiba” au kutokuwepo mtukufu huyo machoni mwa walimwengu. Kabla ya kumuumba mwanadamu, Mwenyezi Mungu aliwaambia Malaika wake: ‘Na pale Mola wako alipowaambia Malaika: Mimi nitamweka katika ardhi Khalifa (al-Baqarah:30). Khalifa wa kwanza alikuwa Nabii Adam (as) na baada yake wakaja Manabii na…