Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemwapisha Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF), Jenerali Jacob Mkunda huku akiahidi kumpangia majukumu mengine CDF aliyemaliza muda wake, Jenerali Venance Mabeyo. Hafla ya la kumwapisha Jenerali Mkunda ilifanyika leo Alhamisi Juni 30, 2022 Ikulu jijini Dar es Salaam. Mkuu huyo wa nchi pia amemwapisha Mnadhimu Mkuu wa Jeshi…
Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA). Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais- Ikulu, Zuhura Yunus imesema kuwa uteuzi huo umeanzia leo Alhamisi Juni 30, 2022. Uteuzi huo umekuja muda…
Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amempandisha cheo Meja Jenerali Jacob John Mkunda kuwa Jenerali na Kumteua kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF). Uteuzi huo umefanyika leo Jumatano Juni 29, 2022 ambapo uapisho wa CDF Kakunda unatarajiwa kufanyika kesho Alhamisi Juni 30 saa saba Ikulu jijini Dar es…