#marekani

Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku

Marekani inaiba 80% ya mafuta yanayozalishwa Syria kila siku

Marekani inapora asilimia 80 ya mafuta yanayozalishwa kwa siku nchini Syria. Wizara ya Mafuta ya Syria imesema vikosi vamizi vya Marekani vinaiba mapipa 66,000 za mafuta ghafi kwa siku katika nchi hiyo ya Kiarabu. Kwa mujibu wa wizara hiyo, kiwango hicho kinachoibiwa na wanajeshi vamizi wa Marekani katika nch hiyo inayoshuhudia vita tangu mwaka 2011,…

DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

DAESH (ISIS) wametumia asilimia 90 ya silaha za Marekani katika operesheni za kigaidi

Mtaalamu mmoja wa masuala ya kiusalama amesema, asilimia 90 ya wahanga na waathirika wa ugaidi nchini Iraq hasa katika maeneo yaliyokombolewa wameuliwa kwa silaha za Marekani. Japokuwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh limeshindwa na kusambaratishwa katika nchi za Iraq na Syria, mabaki ya magaidi wa kundi hilo yangaliko katika nchi hizo na Marekani…

Nyayo za mafia Waisraeli katika madai ya Wizara ya Sheria ya  Marekani dhidi ya IRGC

Nyayo za mafia Waisraeli katika madai ya Wizara ya Sheria ya Marekani dhidi ya IRGC

Wizara ya Sheria ya Marekani imechapisha taarifa inayodai kuwa mtu mmoja kwa jina Shahram Poursafi, ambaye wizara hiyo ilimtaja kuwa mwanachama wa Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), alipanga kumtumia Mmarekani mmoja kumuua John Bolton na afisa mwingine wa utawala wa Donald Trump. Madhumuni ya njama hiyo imetajwa kuwa ni kulipiza kisasi…

Russia yaonya juu ya uwezekano wa kuvunja uhusiano na Marekani

Russia yaonya juu ya uwezekano wa kuvunja uhusiano na Marekani

Afisa mmoja katika wizara ya mambo ya nje ya Russia ameonya kuwa uhusiano wa nchi hiyo na Marekani unaweza ukafika kwenye “nukta isiyoweza kurudishika nyuma” na mbaya zaidi kuliko ya hivi sasa. Alexander Darchiev, mkuu wa idara ya Amerika Kaskazini katika wizara ya mambo ya nje ya Russia amesema, ikiwa Seneti ya Marekai itapitisha mipango inayolenga…

Juhudi za Marekani za kueneza ushawishi wake barani Afrika

Juhudi za Marekani za kueneza ushawishi wake barani Afrika

Akiwa katika safari yake ya kuzitembelea nchi kadhaa za Afrika, Anthony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, amezungumza na kushauriana na viongozi wa nchi alizozitembelea kuhusu masuala ya usalama, mgogoro wa chakula na jinsi ya kuzishirikisha nchi za Kiafrika katika vita vya Ukraine. Katika safari hiyo, ametembelea Afrika Kusini, Jamhuri ya Kidemokrasia ya…

Iran yaitaka Marekani kukubali matakwa halali ya Jamhuri ya Kiislamu

Iran yaitaka Marekani kukubali matakwa halali ya Jamhuri ya Kiislamu

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Hossein Amir-Abdollahian ameitaka Marekani kuandaa mazingira ya kuafikiwa rasimu ya mwisho ya makubaliano ya mazungumzo ya Vienna kwa kukubali “matakwa halali” ya Jamhuri ya Kiislamu. Amir-Abdollahian aliyasema hayo Jumatano jioni katika manzungumzo na mwenzake wa Uturuki Mevlut Cavosoglu na kuongeza kuwa: “Tumefikisha ujumbe wetu kwa Marekani kupitia nchi…

Marekani yatiwa kiwewe na hatua ya Iran kurusha satalaiti anga za mbali

Marekani yatiwa kiwewe na hatua ya Iran kurusha satalaiti anga za mbali

Marekani imeghadhabishwa na hatua ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ya kurusha satalaiti katika anga za mbali kwa mafanikio, kwa kutumia roketi la Russia. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani amesema katika taarifa kuwa, kitendo cha Russia cha kupanua uhusiano na ushirikiano na Iran kinapaswa kutazamwa na dunia kama tishio kubwa. Maafisa…

Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

Utafiti: Polisi ya Marekani imeua raia 700 ndani ya miezi 7

Mamia ya raia wameuawa na askari polisi wa Marekani tokea mwanzoni mwaka huu 2022 hadi sasa, huku duru mbalimbali zikiendelea kulaani ukatili wa polisi ya nchi hiyo dhidi ya raia hususan Wamarekani wenye asili ya Afrika. Utafiti wa kufuatilia mienendo ya polisi ya Marekani umefichua kuwa, raia zaidi ya 700 wameuawa katika miezi saba ya…