#marekani

IRGC ya Iran yaeleza ilivyotwaa na kuachia huru droni ya Marekani

IRGC ya Iran yaeleza ilivyotwaa na kuachia huru droni ya Marekani

Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetoa maelezo ya kina kuhusu namna lilivyoteka na kisha kuachia huru ndege isiyo na rubani ya baharini ya Marekani katika eneo la Ghuba ya Uajemi. IRGC imefafanua kuwa, imetoa maelezo hayo ili kujibu madai ya kuchekesha ya Kamandi Kuu ya Jeshi la Marekani katika eneo la…

Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

Russia: Mashambulizi dhidi ya Syria yamefichua undumakuwili wa Magharibi

Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amelaani vikali mashambulio haramu ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Syria na kusisitiza kuwa, hujuma hizo zimefichua sura halisi ya Wamagharibi likija suala la haki za binadamu. Vasily Nebenzia amesema hayo katika hotuba yake kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kuongeza kuwa, “Israel…

Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

Russia: Marekani irejeshe fedha za Afghanistan zilizoibwa

Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa ameitaka Marekani izirejeshe fedha zilizoibiwa Afghanistan. Vasily Nebenzya ametoa mwito huo alipohutubia kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa. Kwa mujibu wa shirika la habari la Russia TASS, mkutano wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa wa kujadili suala la Afghanistan uligeuka uwanja wa utoaji tuhuma…

Wamarekani: Ndani ya miaka 10 ijayo vita vya wenyewe kwa wenyewe vitatokea nchini

Wamarekani: Ndani ya miaka 10 ijayo vita vya wenyewe kwa wenyewe vitatokea nchini

Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni yanaonyesha kuwa zaidi ya 40% ya Wamarekani wanaamini kwamba ndani ya miaka 10 ijayo, vita vya wenyewe kwa wenyewe vitatokea nchini humo. Kugunduliwa hati zaidi ya 300 zenye muhuri wa siri kwenye nyumba ya rais wa zamani wa Marekani Donald Trump kumeshadidisha mvutano kati ya serikali ya Wademocrat na Trump…

Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

Undumakuwili wa Marekani kuhusu suala la uhuru wa kujieleza

Kufuatia matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Nader Hashemi, Mhadhiri na Mkuu wa Kituo cha Utafiti wa Mashariki ya Kati katika Chuo Kikuu cha Denver, kuhusiana na uwezekano wa Israel kuhusika katika shambulio dhidi ya Salman Rushdie, Warepublican katika Congress ya Marekani wameonya kuhusu ushawishi wa Iran katika vyuo vikuu vya nchi hiyo na kutangaza kwamba…

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeanzisha tena msukumo wake wa kutaka uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa (UN) huku Marekani ikiendeleza njama zake za muda mrefu za kupinga hatua hiyo. “Tunajadiliana kwa nia njema na wanachama wote Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa,” amesema Riyad Mansour, balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa huku…

Jeshi la Syria lauzuia msafara wa magari sita ya kijeshi wa askari wa Marekani

Jeshi la Syria lauzuia msafara wa magari sita ya kijeshi wa askari wa Marekani

Vikosi vya jeshi la Syria vimeuzuia msafara wa askari wa jeshi la Marekani kuvuka eneo la kaskazini mashariki ya nchi hiyo. Kwa mujibu wa shirika la habari la Syria SANA, msafara huo uliojumuisha magari sita ya kijeshi ya askari vamizi wa Marekani yakiandamana na gari moja la wanamgambo wa Kikurdi wa Syria wa kundi la…

Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

Jinai mpya ya Marekani Somalia, Biden ameua Wasomali 465

Shirika linalochunguza mashambulizi ya anga ya kimataifa limefichua kuwa Marekani inaficha idadi halisi ya vifo vya raia nchini Somalia na kwamba idadi ya waliopoteza maisha katika nchi hiyo ya Afrika ni mara 30 zaidi ya ile iliyotangazwa na Pentagon. Kwa mujibu wa taarifa ya tovuti ya “Truthout”, mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Somalia katika…