#mashahidi

Irani yaadhimisha mazishi ya mashahidi 250, Kiongozi Muadhamu azungumza

Irani yaadhimisha mazishi ya mashahidi 250, Kiongozi Muadhamu azungumza

Wananchi wa Iran wamejitokeza kwa wingi katika mazishi ya mashahidi wao 250 waliouawa wakati wa vita vya miaka minane vya kujihami kutakatifu vilivyoanzishwa na utawala wa kidikteta wa Saddam wa Iraq dhidi ya dola changa wakati huo la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Mazishi hayo yamefanyika leo Alkhamisi sambamba na kumbukuku ya siku ya kufa…