#mashariki_ya_kati

Jinai za Saudia nchini Yemen, malengo, radiamali na matokeo yake

Jinai za Saudia nchini Yemen, malengo, radiamali na matokeo yake

Utawala wa kiimla wa Saudi Arabia unaendelea na jinai zake katika nchi ya Waislamu ya Yemen ambapo katika matukio ya hivi karibuni, madola vamizi yakiongozwa na Saudia yameua kwa umati raia wasiopungua 77 wasio na hatia wa Yemen na kujeruhi wengine wapatao 230. Mwaka huu wa 2022 umeanza na ongezeko la jinai za wavamizi wa…

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Rais wa Lebanon Aoun atoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ‘ya dharura’ ya kitaifa

Beirut, Lebanon – Rais wa Lebanon Michel Aoun ametoa wito wa kufanyika kwa mazungumzo ya “haraka” ya kitaifa kati ya vyama tawala vya nchi hiyo huku akilaani miezi kadhaa ya kupooza kisiasa serikalini. “Uvurugaji wa kimakusudi, wa kimfumo na usio na msingi unaosababisha kuvunjika kwa taasisi na serikali lazima ukome,” Aoun alisema katika hotuba ya…

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

Mzozo huo umetokana na mpango wa nchi ya Iran wa kuzalisha nyuklia ikisema ni kwa ajili ya umeme, huku Marekani ikidai kuwa nchi hiyo ina mpango wa siri wa kutengeneza silaha za nyuklia. Kutokana na hofu hiyo, nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na China zilikubaliana kuiwekea vikwazo Iran iwapo itaendelea na mpango huo.Mwaka 2015…

VITA VYA SIKU SITA: Marekani yakumbana na Urusi vita vya Israel

VITA VYA SIKU SITA: Marekani yakumbana na Urusi vita vya Israel

Katika toleo lililopita tulisimulia jinsi Serikali ya Marekani ilivyopata habari kuwa vita imezuka katika Mashariki ya Kati ikiwahusisha Israel na baadhi ya mataifa ya Kiarabu, ilianza kufuatilia kwa karibu kila habari iliyotoka Mashariki ya Kati. Waliokutana kujadili kwa kina vita hivyo ni Rais wa Marekani, Lyndon Johnson (1963–1969); mshauri wake wa masuala ya usalama, Walt…