Dar es Salaam. Waliokuwa wanachama 19 wa Chadema, akiwamo Halima Mdee wanaingia katika mchuano na chama hicho wakati wa usikilizwaji wa pingamizi dhidi ya maombi ya amri ya kudumisha hali ilivyo (kulinda ubunge wao). Mdee na wenzake 18 wamefungua maombi Mahakama Kuu, Masjala Kuu dhidi ya Bodi ya Wadhamini wa Chadema (iliyosajiliwa), Tume ya Taifa ya…