#Moshi

Ukataji wa tiketi mtandao wasuasua, wapiga debe wahofia vibarua

Ukataji wa tiketi mtandao wasuasua, wapiga debe wahofia vibarua

Moshi. Ikiwa leo ndio siku rasmi ambapo wadau wa usafiri wa masafa marefu walitakiwa kuanza rasmi mfumo wa ukataji wa tiketi kwa njia ya mtandao bado muitikio umekua wa kusuasua huku wapiga debe wakiendelea na kazi za ukataji tiketi za kawaida. Mwananchi ilifika katika kituo kikuu cha Mabasi Moshi Mjini na kushuhudia wapiga debe wakiendelea na…