Dodoma. Ili kuzitumia fedha za wateja wasiozitumi akaunti zao za benki au simu za mkononi kwa muda mrefu kutokana na sababu tofauti, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amesema Serikali itakamilisha kuandaa mapendekezo ya Sheria ya Usimamizi wa Rasilimali Fedha Zilizotelekezwa mwaka ujao wa fedha. Kwa utaratibu uliopo, mteja ambaye hajaitumia akaunti yake ya…