Jeshi la Burkina Faso limetangaza kuwa, limeangamiza magaidi 100 wakufurishaji katika operesheni za kijeshi lilizofanya kwa nyakati tofauti katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika. Shirika la habari la Tasnim limenukuu taarifa ya jeshi la Burkina Faso ikitoa ufafanuzi kwa kusema, operesheni zilizoangamiza magaidi hao 100 wakufurishaji zimefanyika kwenye maeneo mbalimbali na kwa nyakati tofauti…
Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa, kundi moja la kigaidi limekishambulia kituo cha jeshi la Niger karibu na mpaka wa nchi hiyo na Chad. Mashambulizi ya kigaidi yaliyoigubika Nigeria tangu mwezi Mei mwaka 2013 hadi sasa yamepelekea maelfu ya watu kuwa wakimbizi, kuibua njaa, kuongezeka umaskini n.k. Mashambulizi ya awali ya kigaidi yaliikumba Nigeri…