Magaidi wenye silaha wamevishambulia vijiji viwili katika jimbo la Niger magharibi mwa Nigeria na kuua watu 14 na kuwateka nyara wengine 15. Gazeti la Tribune la nchini Nigeria limeripoti kuwa, magaidi waliokuwa na silaha jana Jumatatu waliwafyatulia risasi na kuwaua wakazi 14 wa vijiji hivyo viwili katika jimbo la Niger magharibi mwa nchi hiyo sambamba…
Katika kuitikia wito wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria Waislamu nchini Nigeria wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo Abuja, kulaani jinai za muungano vamizi unaoongozwa na utawala wa Saudi Arabia ambao umeendelea kutenda jinai na mauaji ya kimbari nchini Yemen. Waandamanaji hao wakiwa wamebeba mabango na maberamu yenye jumbe mbalimbali wametangaza himaya na uungaji…