Waziri wa Ulinzi wa Russia alitangaza kuanza kwa majukumu ya vikosi vya kimkakati vya nchi hiyo kufuatia amri ya Rais Vladimir Putin wa Russia. Kulingana na vyanzo vya habari, Waziri wa Ulinzi wa Urusi alitangaza alasiri ya Jumatatu tarehe 28/2/2022 kwa majira ya Tehran: “Kwa kufuatia agizo la Rais, nyadhifa za Kamanda wa Kikosi cha…