Huu ni uchambuzi uliotolewa na mchambuzi wa Gazeti Mwananchi kuhusu kuhamishwa ubalozi wa Marekani kutoka Tel Aviv kwenda Jerusalem akisema: Hivi karibuni Rais wa Marekani, Donald Trump ametangaza kuitambua Jerusalem kama mji mkuu wa Israel na kwamba ubalozi wake utahamishwa kutoka Tel Aviv kwenda Jerusalem. Akitetea uamuzi huo, Trump alisema ulishapitishwa na Baraza la Congress…
Nyerere alikuwa miongoni mwa viongozi wa kwanza wa Kiafrika kulitambua Shirika la Ukombozi wa Palestina (PLO) chini ya Yasser Arafat na, mwaka 1973, Dar es Salaam ikawa makao ya ubalozi wa kwanza wa PLO barani Afrika. “Kizazi chetu kilikuwa kizazi cha mapambano ya utaifa kwa ajili ya uhuru wa nchi zetu … lakini hali ya…