Maelfu ya waandamanaji waliokuwa na hasira waliingia barabarani katika jimbo la Ohio, katikati mwa Marekani siku ya Jumapili kulaani kitendo cha polisi kumuua kikatili kijana mwenye asili ya Kiafrika ambaye hakuwa na silaha. Maandamano hayo yameitishwa baada ya kusambaa klipu za video zinazoonyesha uhalifu huo wa kishetani. Klipu hizo za kuogofya zilionyesha maafisa wanane wa…