#palestina

Msafara wa baharini wa Lebanon waelekea mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu kulinda maliasili zake

Msafara wa baharini wa Lebanon waelekea mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu kulinda maliasili zake

Msafara wa majini wa Lebanon umeanza safari yake ya kuelekea mpaka wa Palestina inayokaliwa kwa mabavu (Israel) kwa lengo la kulinda utajiri wa nchi hiyo wa maliasili za mafuta na gesi dhidi ya uporaji wa utawala wa Kizayuni wa Israel. Kwa mujibu wa shirika la habari la Tasnim, msafara wa majini wa Lebanon ambao uliandaliwa…

Israel imewaua Wapalestina zaidi ya 110 Mwaka huu

Israel imewaua Wapalestina zaidi ya 110 Mwaka huu

Jeshi katili la utawala haramu wa Israel limeua Wapalestina zaidi ya 110 na kuwajeruhi wengine wengi hadi sasa mwaka huu. Katika  taarifa, Shirika la Kutetea Haki za Binadamu la Palestina, limesema “Hadi sasa mwaka  huu, mashambulizi ya Jeshi la Utawala wa Israel yamewaua Wapalestina 111, watoto 24 na wanawake 8.” Aidha taarifa hiyo imebaini kuwa,…

Israel yaua shahidi Wapalestina 2; yashambulia Syria kwa makombora

Israel yaua shahidi Wapalestina 2; yashambulia Syria kwa makombora

Utawala wa Kizayuni wa Israel umeendeleza jinai na chokochoko zake dhidi ya mataifa mawili ya Waislamu katika eneo hili la Asia Magharibi. Wanajeshi makatili wa utawala huo pandikizi wamewaua shahidi mabarobaro wawili wa kiume wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan. Kituo cha Habari cha Palestina kimeripoti kuwa, vijana hao wa Kipalestina Yazan Afana…

Sisitizo la kuendelezwa “medani za pamoja za mapambano” na kuangaliwa Israel kama adui wa pamoja wa Wapalestina wote

Sisitizo la kuendelezwa “medani za pamoja za mapambano” na kuangaliwa Israel kama adui wa pamoja wa Wapalestina wote

Huku utawala haramu wa Kizayuni wa Israel ukiwa umeanzisha vita vikali vya kisaikolojia katika siku za hivi karibuni kuulenga uhusiano wa Hamas na Jihadul-Islami, viongozi wa harakati hizo mbili za muqawama za Palestina wamesisitiza katika mazungumzo yao kwamba wameungana na wako kitu kimopja katika mapambano yao dhidi ya utawala huo ghasibu. Hivi karibuni, utawala wa…

Iran: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni msingi wa utulivu na usalama

Iran: Utatuzi wa kadhia ya Palestina ni msingi wa utulivu na usalama

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Ali Bagheri Kani amesema utatuzi wa kadhia ya Palestina ndio msingi wa kuanzishwa utulivu na usalama Asia Magharibi (Mashariki ya Kati), na kueleza kwamba mpango wowote unaopuuza haki za taifa la Palestina husababisha kukosekana utulivu na kuvuruga usalama wa eneo hilo. Bagheri Kani aliyasema hayo katika mkutano…

Wanawake Wapalestina wanateseka katika jela za Israel

Wanawake Wapalestina wanateseka katika jela za Israel

Kwa mujibu wa takwimu za hivi karibuni, utawala haramu wa Israel umewatia mbaroni zaidi ya wanawake 16,000 wa Kipalestina tangu mwaka 1967 huku mashirika ya haki za binadamu yakionya kuhusu hali mbaya ya wafungwa wa kike katika jela za kuogofya za Israel. Addameer, asasi isiyo ya kiserikali ya Wapalestina ambayo inafuatilia jinsi wafungwa wa Kipalestina…

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Palestina yataka uanachama kamili wa Umoja wa Mataifa lakini Marekani inapinga

Mamlaka ya Ndani ya Palestina imeanzisha tena msukumo wake wa kutaka uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa (UN) huku Marekani ikiendeleza njama zake za muda mrefu za kupinga hatua hiyo. “Tunajadiliana kwa nia njema na wanachama wote Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa,” amesema Riyad Mansour, balozi wa Palestina katika Umoja wa Mataifa huku…

HAMAS: Jinai za Wazayuni haziwezi kusimamisha muqawama katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

HAMAS: Jinai za Wazayuni haziwezi kusimamisha muqawama katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan

Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza kuwa, kujeruhiwa askari wa utawala dhalimu wa Israel katika mapigano katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni ishara ya wazi ya sisitizo la vijana wa Kipalestina juu ya kupambana na uvamizi wa utawala ghasibu wa Israel Hazim Qassim amebainisha kuwa, vita na utawala…