#palestina

Oman yasisitizia msimamo wake wa kutoruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

Oman yasisitizia msimamo wake wa kutoruhusu ndege za Israel kutumia anga yake

Oman imesisitizia msimamo wake wa kukataa kuruhusu ndege za utawala wa haramu wa Israel kuruka katika anga yake. Wakati Oman ikiendelea kusisitizia msimamo wake huo, gazeti moja ya Kiebrania limedai kwamba, eti mashinikizo ya Iran ndiyo yanayoufanya utawala wa Oman kung’ang’ania msimamo huo. Gazeti la Israel Hayom lilidai katika chapisho lake jana kwamba, msimamo huo…

HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

HAMAS: Marekani ni mshirika wa jinai za Israel dhidi ya Wapalestina

Mousa Mohammed Abu Marzook, Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Marekani ni mshirika wa jinai zinazofanywa na utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi wa Palestina. Mousa Abu Marzook amesema hayo katika radiamali yake kwa taarifa zilizosambaa zinazodai kuweko mawasiliano ya siri ya Marekani…

Wapalestina wafichua njama ya Israel ya kuubomoa kikamilifu msikiti wa Al Aqsa

Wapalestina wafichua njama ya Israel ya kuubomoa kikamilifu msikiti wa Al Aqsa

Duru za Palestina katika mji wa Baitul Muqaddas (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu zimefichua njama ya awamu tatu iliyoandaliwa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel kwa lengo la kuubomoa msikiti mtukufu wa Al Aqsa. Kwa mujibu wa duru hizo, lengo la njama hiyo ni kuchimba misingi kwa madhumuni ya kuzifanya kuta za msikiti wa Al…

Wapalestina wa Gaza wataka kushtakiwa Wazayuni walioua watoto wao

Wapalestina wa Gaza wataka kushtakiwa Wazayuni walioua watoto wao

Wakazi wa Ukanda wa Gaza wamefanya maandamano wakitaka kufunguliwa mashitaka utawala wa Kizayuni wa Israel katika mahakama za kimataifa, kwa kuua watoto wa Kipalestina katika eneo hilo ambalo liko chini mzingiro. Wakazi wa Gaza, familia na jamaa za watoto wa Kipalestina waliouawa shahidi katika mashambulizi ya hivi karibuni ya jeshi katili la utawala haramu wa…

HAMAS: Muqawama ndio njia bora kabisa ya kuikomboa ardhi ya Palestina

HAMAS: Muqawama ndio njia bora kabisa ya kuikomboa ardhi ya Palestina

Mjumbe mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, muqawama na mapambano ndio njia bora kabisa ya kuzikomboa ardhi za Palestina na kuifanya Palestina kuwa huru. Ismail Ridhwan amesisitiza kuwa, jibu la Wapalestina kwa jinai za utawala ghasibu wa Israel unaokalia Quds kwa mabavu litakuwa ni mtutu wa bunduki. Kiongozi huyo…

Israel yakiri kuwaua watoto Wapalestina Gaza

Israel yakiri kuwaua watoto Wapalestina Gaza

Utawala wa Kizayuni wa Israel umekiri kuwaua watoto watano Wapalestina katika hujuma yake ya hivi karibuni dhidi ya Ukanda wa Gaza. Utawala huo dhalimu ulianzisha  vita dhidi ya Gaza mnamo Agosti 5 na vita hivyo vilimalizika baada ya siku tatu kufuatia upatanishi wa Misri. Jumla ya watu 49 waliuawa shahidi katika hujuma hiyo ya Israel…

Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

Kani: Israel inakoseshwa usingizi na kizazi kipya cha Wapalestina

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema kuwaua watoto wa Kipalestina kumegeuka na kuwa jambo la kawaida kwa utawala wa Kizayuni wa Israel, na umwagaji damu huo unadhihirisha wazi kuwa Wazayuni wanakiogopa kizazi kipya cha Wapalestina. Ali Bagheri Kani alisema hayo jana hapa Tehran katika mazungumzo yake na Mohammed bin Abdulaziz al-Khulaifi,…

Ghalibaf: Muqawama wa Palestina umetoa bishara ya kuangamia utawala wa Kizayuni

Ghalibaf: Muqawama wa Palestina umetoa bishara ya kuangamia utawala wa Kizayuni

Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, muqawama na mapambano ya harakati ya Jihad al Islami ya Palestina mbele ya utawala wa Kizayuni wa Israel yametoa bishara njema ya kuangamia utawala huo pandikizi. Shirika la habari la IRNA limemnkuu Mohammad Bagher Ghalibaf akisema hayo leo katika kikao cha wazi cha Bunge…