#palestina

Joseph Mbilinyi (Sugu): Kuna maana gani Tanzania kufungua ubalozi wake Israel na kuwaacha Wapalestina

Joseph Mbilinyi (Sugu): Kuna maana gani Tanzania kufungua ubalozi wake Israel na kuwaacha Wapalestina

Mbunge wa Mbeya mjini wa chama cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA) Joseph Osmund Mbilinyi maarifa kwa jina la Sugu amesema kuwa, inashangaza kuona hii leo serikali ya Rais John Magufuli inakwenda kinyume na misingi iliyojengwa na Tanzania katika kuwatetea watu wanaokandamizwa duniani, hususan Palestina. Akitoa mfano wa suala hilo mheshimiwa Mbilinyi ameelezea namna ambavyo Tanzania…

BAKWATA lalaani unyama wa Israel, lawataka Waislamu wote Tanzania kuliombea nusra taifa la Palestina

BAKWATA lalaani unyama wa Israel, lawataka Waislamu wote Tanzania kuliombea nusra taifa la Palestina

Huu ulikuwa ni ulikuwa ni moja wapo wa Misimamo ya Bwakwata kuhusu Palestina. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limelaani vitendo vya kinyama na uadui vinavyofanywa na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wa taifa madhulumu la Palestina vikiwemo vya kuua raia wasio na hatia. Kupitia tamko lililosomwa leo Alkhamisi na Sheikh…

Tanzania kuitumia Israel kutatua mgogoro wa Palestina

Tanzania kuitumia Israel kutatua mgogoro wa Palestina

Haya yalikuwa ni maoni na mawazo ya mmoja wa Wanasiasa wa Tanzania kuhusu Palestina na Israel.   Dar es Salaam. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk Damas Ndumbaro amesema Tanzania haitaitenga Israel katika mchakato wa kusaka amani katika mgogoro wake na Palestina. Hivi karibuni Balozi wa Palestina nchini Tanzania,…

Bakwata yawataka Waislamu kuiombea Palestina

Bakwata yawataka Waislamu kuiombea Palestina

Haya ni maneno ya Baraza la Kuu la waislamu Tanzania (Bakwata) wakionyesha mshikamano wao na Waislamu wenzao wa Palestina.Dar es Salaam. Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limewataka Waislamu wote nchini kuitumia sala ya Ijumaa kufanya dua maalumu kuliombea Taifa la Palestina lenye mgogoro dhidi ya Israel. Mbali na hilo, amewataka pia kufanya dua ya…

Watanzania waitwa kutafiti mgogoro wa Israel, Palestina

Watanzania waitwa kutafiti mgogoro wa Israel, Palestina

Haya ni maneno ya Balozi  wa Palestina nchini Tanzania  alipowaita Watanzania kutafiti mgogoro wa Israel, Palestina. Dar es Salaam. Ubalozi wa Palestina nchini umewakaribisha Watanzania kufanya tafiti zaidi kuhusu mgogoro wa Mashariki ya Kati ili kujua ukweli wa historia kati ya Israel na Palestina. Wito huo umetolewa na balozi wa Palestina nchini, Hamdi Mansour AbuAli…

Balozi Palestina aipongeza CCM

Balozi Palestina aipongeza CCM

Haya ni Mazungumzo ya Balozi wa Palestina nchini TAnzania akipongeza uhusiano wa Tanzania na Palestina BALOZI wa Mamlaka ya Palestina nchini, Hamdi Mansour AbuAli pamoja na mwanaharakati wa haki za binadamu Mashariki ya Kati, Dk. Uri Davis wamekipongeza Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa msimamo wake wa kuunga mkono jitihada za Wapalestina katika kupigania haki zao….

UN iishinikize Israel isitishe mauaji ya kiholela ya raia Wapalestina

UN iishinikize Israel isitishe mauaji ya kiholela ya raia Wapalestina

Kundi moja la kutetea haki za binadamu limeutaka Umoja wa Mataifa kuushinikiza utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe sera za kutumia mabavu ambayo hupelekea idadi kubwa ya Wapalestina kupoteza maisha. Shirika la kutetea haki za binadamu la Euro-Med Monitor limemtumia barua Morris Tidball-Binz, ripota maalumu wa Umoja wa Mataifa kuhusu mauaji nje ya mkondo wa…

Balozi wa Palestina aitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel

Balozi wa Palestina aitaka jumuiya ya kimataifa kuilaani Israel

Haya ni maneno ya Balozi wa Palestina nchini Tanzania akiitaka Jumuiya ya kimataifa ilaani vitendo vya utawala haramu wa Israel kama inavyolaani vitendo vya Russia huko Ukraine, Dar es Salaam. Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Hamdi Mansour Abuali ameitaka jumuiya ya kimataifa kulaani vitendo vya Israel kukiuka makubaliano na Palestina kama ambavyo wamekuwa wakilaani uvamizi wa…