#palestina

Mzayuni aangamizwa katika operesheni ya wanamapambano wa Palestina

Mzayuni aangamizwa katika operesheni ya wanamapambano wa Palestina

Kanali ya televisheni ya KAN ya utawala wa Kizayuni, mapema leo Jumanne imetangaza habari ya kuangamizwa mlowezi mmoja Mzayuni anayejulikana kwa jina la Shalom Sofer ambaye alijeruhiwa katika operesheni moja ya mwanamapambano wa Palestina. Televisheni hiyo imetangaza kuwa, Shalom Sofer alikuwa mlowezi wa Kizayuni anayeishi katika kitongoji cha Kedumim cha walowezi wa Kizayuni kilichojengwa kwenye ardhi…

Jordan yaonya kuhusu hatua za Israel za kuzusha mizozo Palestina

Jordan yaonya kuhusu hatua za Israel za kuzusha mizozo Palestina

Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jordan ameonya kuhusiana na hatua za utawala haramu za Israel za kuzusha mivutano na mifarakano dhidi ya Wapalestina. Ayman Safadi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jordan amesema hayo katika mazungumzo yake na mratibu maalumu wa Umoja wa Mataifa katika mwenendo wa amani ya Asia Magharibi na kutahadharisha kuhusiana…

HAMAS: Wapalestina wataendeleza mapambano ya ukombozi

HAMAS: Wapalestina wataendeleza mapambano ya ukombozi

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesema wananchi wa Palestina wataendeleza kwa nguvu zote jitihada na mapambano ya kulikomboa kikamilifu taifa lao kutoka kwenye makucha ya utawala wa Kizayuni wa Israel. HAMAS imesema hayo katika taarifa iliyoitoa kwa mnasaba wa kutimia miaka 105 tangu kutolewa Azimio la Balfour lililoandaa uwanja wa kuasisiwa utawala haramu wa Israel huko…

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu yasisitiza kuunga mkono haki za Wapalestina

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu yasisitiza kuunga mkono haki za Wapalestina

Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imesisitiza kuendelea kutetea na kuuunga mkono haki za wananchi madhulumu wa Palestina. Taarifa ya OIC iliyotolewa leo kwa mnasaba wa kutimia miaka 105 tangu kutolewa  Azimio la Balfour imesisitiza kuwa, jumuiya hiyo itaendelea kuunga mkono mapambano ya kiadilifu ya wananchi wa Palestina yenye lengo la kupigania haki zao za kitaifa….

Jukumu lililosahauliwa la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina

Jukumu lililosahauliwa la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Palestina

Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa limefanya kikao mara mbili asubuhi na jioni kujadili matukio mapya yanayojiri Palestina. Hata kama kikao hicho hakikufikia mwafaka unaoeleweka, lakini kilitoa fursa kwa nchi mbalimbali kubainisha mitazamo yao, ambayo kwa ujumla imedhihirisha jinsi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel unavyokiuka misingi na sheria za kimataifa pamoja na maazimio…

Hamas: Risasi za wanamapambano wa Palestina ni jibu kwa vitendo kwa jinai za Israel

Hamas: Risasi za wanamapambano wa Palestina ni jibu kwa vitendo kwa jinai za Israel

Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema kuwa, risasi zilizopigwa na wapiganaji ukombozi wa Palestina katika operesheni ya kulipiza kisasi karibu na makazi haramu ya walowezi katika eneo la kusini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni jibu la kivitendo kwa jinai zinazofanywa na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina. Msemaji…

Russia: Marekani na Ulaya zinataka kuwafanya walimwengu waghafilike na kadhia ya Palestina

Russia: Marekani na Ulaya zinataka kuwafanya walimwengu waghafilike na kadhia ya Palestina

Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, Marekani na Ulaya ndio wahusika wakuu wa kushadidi mgogoro wa Palestina. Vasily Nebenzya, Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, umewadia wakati sasa kwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuchuukua hatua za kurekebisha hali…

Mashabiki wa Celtic waunga mkono mapambano ya ukombozi ya watu wa Palestina

Mashabiki wa Celtic waunga mkono mapambano ya ukombozi ya watu wa Palestina

Mashabiki wa timu ya kandanda ya Celtic huko Scotland wamebeba na kupeperusha bendera za Palestina katika mechi iliyochezwa jana dhidi ya timu ya Shakhtar Donetsk ya Ukraine, wakitangaza uungaji mkono wao kwa Wapalestina wa eneo la Nablus wanaoendelea kukandamizwa na utawala haramu wa Israel. Kwa siku ya 16 mfululizo, wanajeshi wa Israel wanauzingira mji wa…