#qaani

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Jenerali Qaani: Waliomuua Jenerali Qasim Soleimani hawatawahi kuwa katika amani na usalama

Kamanda wa Kikosi cha Quds cha IRGC alisema:Leo hii, ikiwa kauli mbiu ni kuifikia Quds Tukufu na kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu tutafika, na lengo hili ni lengo lenye uhakika. Na lengo letu kuu katika hatua hii ni kuifikia serikali ya ulimwengu ya Hazrat Mahdi (as) na kufikia uwepo wenye baraka wa Imamu wa Zama,…