Kongamano limepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Malaysia Disemba 3 kujadili masuluhisho ya Qur’ani Tukufu kwa ajili ya kukabiliana na changamoto za siku hizi. Taasisi ya Warisan Ummah Ikhlas Foundation (WUIF) ndiyo inayoandaa hafla hiyo kwa kushirikisha wataalamu kutoka nchi kadhaa. Wazungumzaji watatoka Malaysia, Indonesia, Bangladesh, Misri, Marekani na Palestina. Ukumbi wa Perdana MTI huko…