#ramadan2023

Waislamu watakiwa kususia tende za Israel mwezi wa Ramadhani

Waislamu watakiwa kususia tende za Israel mwezi wa Ramadhani

Kampeni mpya ya kususia utawala wa Kizayuni imezinduliwa ili kuwataka Waislamu barani Ulaya na maeneo mengine duniani kuangalia lebo za matunda hasa tende na kuepuka kununua tende za utawala haramu wa Israel katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Waislamu wanapaswa kuhakikisha kuwa hawafuturu kwa bidhaa za “ubaguzi wa rangi,” waandaaji wa kampeni hiyo wamesema. “Kwa kuchagua…