#ramaphosa

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ameilaumu NATO kwa vita vya Russia nchini Ukraine

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ameilaumu NATO kwa vita vya Russia nchini Ukraine

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa, ameilaumu NATO kwa vita vya Ukraine na kusema kuwa atapinga wito wa kuilaani Russia. Matamshi haya ya Ramaphosa yanatia shaka iwapo atakubaliwa na Ukraine au nchi za Magharibi kama mpatanishi katika mzozo huo. Ramaphosa ambaye alikuwa akizungumza bungeni, amesema: “Vita hivyo vingeweza kuepukika kama NATO ingezingatia maonyo kutoka kwa viongozi…