Mkutano wa 42 wa viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (SADC), ulimazilika jana katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo Kinshasa, huku wakuu wa jumuiya hiyo wakihamasisha ukuaji wa uchumi, kilimo na juhudi zaidi katika sekta ya madini. Mkutano wa mwaka huu ulikuwa na kaulimbiu isemayo “kuhamasisha viwanda…