#sakaja

Sakaja Adai Ana Digrii

Sakaja Adai Ana Digrii

Faraan ; Seneta Johnson Sakaja anayepingwa kuwania ugavana wa Nairobi kwa madai hana Digirii, Jumatatu alisema alisoma katika Chuo Kikuu cha Teams University na kuhitimu Oktoba 2016. Katika ushahidi aliowasilisha kwa jopo la Tume ya Uchaguzi (IEBC) la kutatua mizozo ya uteuzi na uidhinishaji wa wawaniaji, Bw Sakaja anayedaiwa hajahitimu kwa shahada hiyo, alidai wamepotoka…