#saudia

Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

Hukumu ya Saudia Arabia dhidi ya daktari Mtunisia yapingwa na kulaaniwa vikali

Taasisi ya Kitaifa ya Kuunga Mkono Muqawama na Kupinga Kuanzishwa Uhusiano wa Kawaida na utawala haramu wa Israel ya nchini Tunisia imelaani vikali hukumu ya Saudi Arabia ya kumfunga jela miaka 15 daktari mmoja wa kike raia wa Tunisia kwa kuweka video ya maandamano ya kuiunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon. Taasisi…

Kushambuliwa bandari ya al Dabah, onyo la Wayemen kwa wezi na waporaji wa mafuta

Kushambuliwa bandari ya al Dabah, onyo la Wayemen kwa wezi na waporaji wa mafuta

Ijumaa ya tarehe 21 Oktoba 2022, jeshi la Yemen lilitumia droni zake kushambulia bandari ya al Dabah huko Hadhramaut likiwa ni pigo jipya kwa wavamizi na onyo kwa madola vamizi yanayoongozwa na Saudi Arabia ambayo yanaendelea kupora utajiri wa nchi hiyo maskini zaidi ya Kiarabu. Al Dabah ni bandari muhimu katika mkoa wa Hadhramaut wa…

Saudia yamfunga jela daktari Mtunisia kwa kuweka video tu ya Watunisia kuhusu Hizbullah

Saudia yamfunga jela daktari Mtunisia kwa kuweka video tu ya Watunisia kuhusu Hizbullah

Saudi Arabia imemfunga jela miaka 15 daktari mmoja wa kike raia wa Tunisia kwa kuweka video ya maandamano ya kuiunga mkono Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon huko Tunisia. Kwa mujibu wa shirika la habari la FARS, mahakama moja nchini Saudia imemuhukumu kifungo cha miaka 15 jela Bi Mahdiyah al Barzouqi kwa madai ya…

CNN: Saudia inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya madawa ya kulevya Mashariki ya Kati

CNN: Saudia inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya madawa ya kulevya Mashariki ya Kati

Televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza habari ya kukamatwa kete karibu milioni 47 za madawa ya kulevya nchini Saudi Arabia na kuongeza kuwa, nchi hiyo ya kifalme hivi sasa inaelekea kuwa kitovu cha matumizi ya mihadarati katika eneo la Mashariki ya Kati. Katika taarifa yake hiyo, televisheni ya CNN ya Marekani imetangaza kwamba, siku ya…

Muungano vamizi wa Saudia wazuia meli ya nne iliyobeba shehena ya mafuta ya Yemen

Muungano vamizi wa Saudia wazuia meli ya nne iliyobeba shehena ya mafuta ya Yemen

Shirika la mafuta la Yemen limetangaza kuwa, muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeizuia meli ya nne iliyobeba shehena ya mafuta ya nchi hiyo. Mbali na kuiba mamilioni ya mapipa ya mafuta kutoka Yemen, muungano wa kijeshi wa Saudia umeshadidisha hali mbaya ya uhaba wa mafuta na fueli katika nchi hiyo masikini na iliyoathiriwa…

Takwimu mpya za kutisha zatolewa kuhusu jinai za Saudia nchini Yemen

Takwimu mpya za kutisha zatolewa kuhusu jinai za Saudia nchini Yemen

Wizara ya Afya ya Yemen imetangaza takwimu mpya za hasara roho na mali za watu zilizosababishwa na jinai za miaka minane ya vita vya kivamizi vya muungano wa nchi za Kiarabu wakiongozwa na Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati). Mwaka 2015, Saudia na Imarati kwa baraka kamili za Marekani, nchi za Magharibi…

Nusu ya wananchi wa Saudia wanalalamikia ugumu wa maisha

Nusu ya wananchi wa Saudia wanalalamikia ugumu wa maisha

Uchunguzi wa hivi karibuni kabisa wa maoni unaonesha kuwa, nusu ya wananchi wa Saudia Arabia wanalalamikia ugumu wa maisha na kupanda vibaya kwa bei za bidhaa. Kwa mujibu wa al Khalij al Jadid, uchunguzi huo wa maoni umefanywa na shirika moja la kibiashara la eneo hili baada ya kuombwa kufanya hivyo na taasisi ya Marekani…

Muungano vamizi wa Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

Muungano vamizi wa Saudia waendelea kukiuka usitishaji vita nchini Yemen

Muungano vamizi wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia umeendelea kukiuka makubaliano ya usitishaji viita ambapo katika kipindi cha masaa 24 yaliyopita umekiuka usitishaji vita huo mara 202. Usitishaji vita wa muda wa miezi miwili ulianza kutekelezwa Aprili mwaka huu na mwezi Juni mwaka huu Hans Grunberg, mjumbe maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya…