
Maseneta waitaka serikali ya Biden kuwajibika kuhusu uchunguzi wa mauaji ya Shireen
Maseneta wa chama cha Democratic cha Marekani wameitaka serikali ya Rais Joe Biden wa nchi hiyo kuwajibika kuhusu uchunguzi unaohusu mauaji ya mwandishi wa habari wa Palestina wa televisheni ya Al Jazeera, Shireen Abu Akleh. Ni baada ya Umoja wa Mataifa kumesema kuwa taarifa ulizokusanya zinaonesha kuwa, Shireen Abu Akleh, mwandishi wa habari wa televisheni ya…

Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania walaani mauaji ya mwandishi wa Al-Jazeera
Dar es Salaam. Ubalozi wa Palestina nchini Tanzania unalaani vikali mauaji ya kikatili ya Israel yaliyomlenga mwandishi wa habari mkongwe wa Al-Jazeera, Shireen AbuAqla katika kambi ya wakimbizi ya Jenin. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na ubalozi huo Mei 11, 2022, wanajeshi wa Israel walimpiga risasi Shireen kichwani. Mwandishi huyo aliuawa wakati akiripoti uhalifu wa…

Marekani yafumbia macho ukweli kuhusu mauaji ya Shireen Abu Akleh
Licha ya kuwepo ushahidi na dalili za wazi kuhusu mauaji ya Shireen Abu Akleh, mwandishi ya televisheni ya al-Jazeera ya nchini Qata, Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imetoa taarifa ikidai kwamba mauaji hayo hayakuwa ya makusudi. Hii ni katika hali ambayo mauaji hayo yalitekelezwa mbele ya macho ya mamilioni ya walimwengu na bila…

Familia ya Shireen yakosoa ripoti ya Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani
Watu wa familia ya Shireen Abu Akleh, mwandishi habari Mpalestina ambaye aliuliwa shahidi kwa kupigwa risasi na wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel akiripoti matukio yaliyokuwa yakijiri katika mji wa Jenin, wamokosoa vikali ripoti iliyotolewa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani kuhusu mauaji hayo. Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Marekani imetangaza…