#Simiyu

Kafulila aagiza waliotafuna fedha za makusanyo ya Halmashauri wasakwe

Kafulila aagiza waliotafuna fedha za makusanyo ya Halmashauri wasakwe

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, David Kafulila ameagiza kusakwa na kuwekwa ndani watu wote ambao wanadaiwa kuhusika katika upotevu wa kiasi cha Sh milioni 38 za makusanyo ya ushuru kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Busega. Kafulila ametaka kila mtu ambaye amehusika kwenye upotevu wa fedha hizo, akamatwe kisha awekwe ndani na atatoka mara baada ya…