Arusha. Wanasayansi na watafiti wa panya kutoka nchi zaidi ya 50 duniani, wamekutana Jijini Arusha, kujadili namna ya kuwatumia Panya katika udhibiti, kugundua mabomu na kugundua maambukizi ya ugonjwa wa tauni na uokozi wa majanga ya kidunia. Aidha katika mkutano huo wa saba wa kimataifa wa baiolojia ya panya na udhibiti wa panya duniani unaofanyika jijini…