
Kufutwa siku ya mapumziko (maombolezo) ya Ashura katika kalenda rasmi ya Afghanistan
Kwa mujibu wa ripoti zilizochapishwa, Taliban imeondoa likizo au siku ya maombolezo ya Ashura katika kalenda rasmi ya Afghanistan na badala yake kuweka mahala pake matukio kadhaa yanayohusiana nayo. Hii ni katika hali ambayo kabla ya hapo siku hii ya Ashura ilikuwa imesajiliwa katika kalenda rasmi ya Afghanistan kama siku ya mapumziko ya umma kwa…

Mapigano yazuka baina ya askari wa mpakani wa Iran na wapiganaji wa Taliban
Gavana wa mji wa Hirmand ulioko kaskazini ya mkoa wa Sistan na Baluchistan kusini mashariki mwa Iran amesema, yamezuka mapigano kati ya askari wa kikosi cha mpakani cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wapiganaji wa kundi la Taliban la Afghanistan. Meysam Barazandeh, Gavana wa mji wa Hirmand ulioko mkoani Sistan na Baluchistan ameliambia shirika la habari…

Wanawake wa Afghanistan wakosoa kutoalikwa katika kikao cha Loya Jirga
Wanawake wa Afghanistan wamekosoa kufanyika kikao cha maulamaa wa kidini wa Baraza la Ushauri kwa ajili ya amani ya Afghanistan (Loya Jiirga) bila ya wanawake wa nchi hiyo kuhudhuria. Kutoshirki wanawake katika kikao hicho kunamaanisha kupuuzwa nusu ya jamii ya watu wa Afghanistan. Kikao cha siku tatu cha faragha cha Loya Jirga kimefanyika Kabul mji…

Taliban yaitaka Amerika kuheshimu wito wa UN wa kuachia fedha za Afghanistan
Serikali ya Taliban imeitaka Washington itekeleze mwito uliotolewa hivi karibuni na Umoja wa Mataifa, wa kuachia fedha za Afghanistan zilizozuiwa nchini Marekani. Msemaji wa Taliban, Zabihullah Mujahid alitoa mwito huo katika ujumbe aliotuma kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter hapo jana na kueleza kuwa: Marekani inapaswa kutoa jibu chanya kwa mwito wa jamii ya kimataifa,…