#tanzania

Suluhu Azindua Filamu Amerika ili Kuimarisha Utalii Nchini Tanzania

Suluhu Azindua Filamu Amerika ili Kuimarisha Utalii Nchini Tanzania

RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua filamu yake inayolenga kuvutia watalii nchini Tanzania. Filamu hiyo inayojulikana kama Royal Tour, itazinduliwa Jumatatu, Aprili 18 jijini New York. Rais Suluhu aliondoka Tanzania Alhamisi jioni kuelekea Amerika kwa ajili ya uzinduzi huo. Filamu hiyo pia itazinduliwa jimboni Los Angeles, Amerika Aprili 21 na jijini Dar es Salaam nchini…

Dar es Salaam; Mangula ang’atuka, Kinana kumrithi

Dar es Salaam; Mangula ang’atuka, Kinana kumrithi

Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) imempendekeza Katibu mkuu wa zamani wa chama hicho, Abdulrahman Kinana kuwa mgombea nafasi ya makamu mwenyekiti (Bara) baada ya aliyekuwa akishika nafasi hiyo, Philip Mangula kung’atuka. Hayo yamesemwa leo Alhamis Machi 31, 2022 na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho, Shaka Hamdu Shaka alipokuwa akizungumza na waandishi wa…

Ulaya Yaililia Afrika iunge Kulaani Hatua Ya Urusi Kuishambulia Ukraine

Ulaya Yaililia Afrika iunge Kulaani Hatua Ya Urusi Kuishambulia Ukraine

UJUMBE wa Muungano wa Ulaya (EU) nchini Tanzania umeirai Afrika kuisaidia dhidi ya dhuluma na ukatili unaoendeshwa na Urusi nchini Ukraine. Wito huo ulitolewa jana jijini Dar es Salaam na mabalozi wanane wanaoziwakilisha nchi za Poland, Ufaransa, Finland, Ujerumani, Italia, Uholanzi, Uswidi na Uhispania. Balozi wa EU nchini Tanzania, Manfredo Fanti, pia alikuwa kwenye kikao…

Rais Samia ataka mwelekeo mpya wa majeshi

Rais Samia ataka mwelekeo mpya wa majeshi

Rais Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Magereza kuhakikisha askari wake waliopanda vyeo kuendelea kutekeleza majukumu yao na kuacha tabia ya kurundikana ofisini pasipokuwa na kazi. Amesema hayo leo Ijumaa Machi 25, 2022 katika uzinduzi na uwekaji wa mawe ya msingi kwenye miradi ya makao makuu ya Magereza Dodoma “Haina maana kama mtu ana cheo…

Tanzania Kutumia Jeshi la Urusi Kuwaokoa Wanafunzi Waliokwama Ukraine

Tanzania Kutumia Jeshi la Urusi Kuwaokoa Wanafunzi Waliokwama Ukraine

Wanafunzi hao waliokuwa wanasomea katika Chuo Kikuu cha Sumy nchini Ukraine, watahamishwa hadi eneo salama nchini Urusi ili kuepuka vita.Wanafunzi hao watapokelewa na jeshi la Urusi kwenye mpaka wa taifa hilo. Hatua hiyo ni kufuatia mazungumzo ya kidiplomasia kufanyika kati ya serikali ya Urusi na Tanzania kuridhia. Tanzania imetangaza kuwa Urusi itawasadia wanafunzi Watanzania waliokwama…

Wanafunzi Watanzania waliokwama Ukraine wawasili Moscow

Wanafunzi Watanzania waliokwama Ukraine wawasili Moscow

Kundi la wanafunzi Watanzania 11 waliokuwa wamekwama Summy nchini Ukraine wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi Balozi Frederick Kibuta na Maafisa Ubalozi baada ya kuwasili Moscow nchini Urusi salama. Jeshi la Russia kutumika kuokoa wanafunzi wa Tanzania Ukraine Russia imetengeneza njia ya usalama kuwawezesha wanafunzi wa Tanzania walioko katika Chuo…

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

UTATA MASHARIKI YA KATI: Tahadhari yatolewa kwa Tanzania mgogoro wa Marekani, Iran

Mzozo huo umetokana na mpango wa nchi ya Iran wa kuzalisha nyuklia ikisema ni kwa ajili ya umeme, huku Marekani ikidai kuwa nchi hiyo ina mpango wa siri wa kutengeneza silaha za nyuklia. Kutokana na hofu hiyo, nchi za Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani na China zilikubaliana kuiwekea vikwazo Iran iwapo itaendelea na mpango huo.Mwaka 2015…

Tanzania yatangaza miradi ya kimkakati maonyesho Dubai

Tanzania yatangaza miradi ya kimkakati maonyesho Dubai

Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dotto James amesema Tanzania inatangaza miradi mikubwa ya kimkakati katika maonyesho ya kimataifa yanayofanyika Dubai katika Falme za Kiarabu (UAE). James ameyasema hayo leo Jumanne Oktoba 26 jijini Dar es Salaam wakati akitoa mrejesho wa ziara yake huko Dubai ambako alikwenda kuangalia ushiriki wa Tanzania…