Dar es Salaam. Waliokuwa wafanyakazi waandamizi wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka matatu, likiwamo la kuisababishia mamlaka hiyo hasara ya Dola za Marekani 1.85 milioni sawa na Sh4.2 bilioni. Washtakiwa hao ni aliyekuwa Ofisa Rasilimali watu, Peter Gawile (58), aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Manununuzi,…