Dodoma. Serikali imepunguza tozo ya ving’amuzi nchini kufikia Sh500 hadi Sh2000 kwa kadri ya matumizi ya mteja baada ya majadiliano na Kamati ya Bunge ya Bajeti. Kabla ya majadiliano hayo tozo iliyopendekezwa katika makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti ya serikali 2022/23 ilikuwa Sh1,000 hadi Sh3,000. Hayo yamesemwa leo Jumatatu Juni 2022/2023 na Mwenyekiti wa…