Dar es Salaam. Muda mfupi baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuweka wazi kuwa haridhidhwi na kasi ya utendaji wa bandari nchini, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Eric Hamissi. Taarifa iliyoptolewa jana Jumatatu Julai 4, 2022 na Mkurugenzi Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Zuhura Yunus imesema kuwa nafasi Hamissi inachukuliwa…