Matokeo ya utafiti uliofanywa katika majimbo mbalimbali ya Marekani yanaonyesha kuwa, vitendo na mienendo ya ubaguzi wa rangi dhidi ya raia wa nchi hiyo wenye asili ya Asia imeongezeka katika kipindi cha miaka miwili iliyopita. Kwa mujibu wa gazeti la The Guardian, matokeo ya utafiti uliofanywa katika majimbo tofauti ya Marekani na kituo cha binafsi…