#ukraine

Amerika, EU Wawinda Mabinti Wa Rais Putin

Amerika, EU Wawinda Mabinti Wa Rais Putin

AMERIKA na Muungano wa Mataifa ya Ulaya (EU) sasa zinalenga mabinti wa kiongozi wa Urusi Vladimir Putin katika juhudi za kumshinikiza kuondoa majeshi yake nchini Ukraine. Kulingana na ripoti zilizochapishwa Jumatano katika majarida ya Wall Street Journal na Bloomberg, Amerika na EU zinalenga kuwekea vikwazo vya kiuchumi mabinti hao; Maria Vorontsova na Katerina Tikhonova kufuatia hatua ya baba yao,…

Mkutano wa Urusi na Ukraine mjini Istanbul; Erdogan atoa wito wa kusitishwa kwa vita

Mkutano wa Urusi na Ukraine mjini Istanbul; Erdogan atoa wito wa kusitishwa kwa vita

Rais wa Uturuki alitoa wito wa kusitishwa kwa mapigano kabla ya mazungumzo baina ya wajumbe wa Ukraine na Urusi kuanza mjini Istanbul. Mazungumzo kati ya wajumbe wa Urusi na Ukraine, yaliyoandaliwa na Istanbul, yalianza Jumanne (leo) na Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametoa wito kwa Moscow na Kiev wa kusitisha vita baina yao. Kwa…

Medvedev: Urusi yawaweka maadui zake sehemu wanayostahiki, miongoni mwao Marekani

Medvedev: Urusi yawaweka maadui zake sehemu wanayostahiki, miongoni mwao Marekani

Naibu Katibu wa Baraza la Usalama la Russia amesema kuwa Marekani imezusha hofu ya kuchukiza nchini Urusi katika jaribio la kuipigia magoti Moscow na kuisambaratisha. Alisema kuwa Urusi ina uwezo wa kuwaweka maadui wake wote wabaya mahali pake. Kwa mujibu wa Idhaa ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, Dmitry Medvedev alisema siku ya…

Wanafunzi Watanzania waliokwama Ukraine wawasili Moscow

Wanafunzi Watanzania waliokwama Ukraine wawasili Moscow

Kundi la wanafunzi Watanzania 11 waliokuwa wamekwama Summy nchini Ukraine wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Urusi Balozi Frederick Kibuta na Maafisa Ubalozi baada ya kuwasili Moscow nchini Urusi salama. Jeshi la Russia kutumika kuokoa wanafunzi wa Tanzania Ukraine Russia imetengeneza njia ya usalama kuwawezesha wanafunzi wa Tanzania walioko katika Chuo…

Wanafunzi warejea nchini Nigeria wakitokea Ukraine huku kesi za maambukizi ya Corona zikiongezeka

Wanafunzi warejea nchini Nigeria wakitokea Ukraine huku kesi za maambukizi ya Corona zikiongezeka

Nigeria imetangaza ongezeko la maambukizo ya Covid-19 siku moja baada ya kusajili idadi ndogo zaidi ya kila siku iliyorekodiwa tangu kuanza kwa janga hilo. Siku ya Jumatatu iliyopita Kituo cha Kudhibiti Magonjwa cha Nigeria kilitangaza visa viwili pekee vilivyorekodiwa nchini humo vya maambukizi ya corona. Siku ya Jumanne mamlaka ya afya ilirekodi maambukizo mapya 118 ya…

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Sanaa: Huku mashambulizi yakiendelea huko nchini Yemen baadhi ya nchi za Kiarabu zadhihirisha hisia zake kwa kuwahurumia wananchi wa Ukraine kwa kulipuliwa na mabomu

Kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen, baadhi ya nchi za Kiarabu zimeisahau Yemen kwa muda wa miaka 7 na sasa zinaruhusu usajili wa viza kwa Wananchi wa Ukraine. Kwa mujibu wa Huduma ya Kimataifa ya Shirika la Habari la Fars, afisa wa Serikali ya Wokovu wa Kitaifa ya Yemen leo…

Rais Volodymyr Zelenskyy : Nchi za Magharibi hazina hata uwezo wa kulinda wananchi wao

Rais Volodymyr Zelenskyy : Nchi za Magharibi hazina hata uwezo wa kulinda wananchi wao

Zelenskyy alisema hayo siku ya Ijumaa katika hotuba yake maalumu na kuongeza kuwa, hivi sasa mtu yeyote atakayeuawa nchini Ukraine, basi nchi za Magharibi zinabeba dhima ya kifo chake. Rais Volodymyr Zelenskyy wa Ukraine amehamakishwa mno na uamuzi wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO kukataa ombi lake la kutangaza eneo lililo marufuku kupaa ndege…

Moto mkubwa waripotiwa katika kituo kikubwa zaidi cha nyuklia cha Ukraine

Moto mkubwa waripotiwa katika kituo kikubwa zaidi cha nyuklia cha Ukraine

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Ukraine mapema leo Ijumaa amesema kuwa moto mkubwa umetokea katika kituo kikubwa zaidi cha nyuklia cha nchi hiyo cha Zaporizhzhia. Dmytro Kuleba amedai kuwa moto huo umetokana na mashambulizi ya Jeshi la Russia dhidi ya kituo hicho. Zaporizhzhia ndicho kituo kikubwa zaidi cha nishati ya nyuklia nchini…