#UNIESCO

Israel yaonywa kuhusu kujaribu kubadilisha muundo wa Msikiti wa Aqsa

Israel yaonywa kuhusu kujaribu kubadilisha muundo wa Msikiti wa Aqsa

Mabadiliko yoyote ambayo utawala haramu wa Israel unapanga kuyatekeleza katika hali ya miongo kadhaa iliyopita katika ukuta wa eneo lote la Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) yanaweza kuzua vita vya kidini katika eneo hilo. Onyo hilo limetolewa na Idara ya Wakfu ya Kiislamu, inayosimamia Msikiti wa Al-Aqsa na maeneo matakatifu ya Waislamu mjini Quds….