Kwa sasa mgombea huyo ana digrii tatu kutoka kwenye taasisi hiyo. Chuo Kikuu cha Nairobi (UoN) kimejitokeza kufafanua kuwa waraka unaosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikidaiwa kua ni shahada ya digrii aliyokabidhiwa naibu Rais nchini Kenya Bw. William Ruto ni ghushi. Ukweli ni kwamba naibu rais alijiandikisha kwa Shahada ya Kwanza baada ya kukamilisha masomo…