Mauaji yaliyofanywa dhidi ya wakili wa haki za binadamu Thulani Rudolf Maseko aliyeuawa kwa kupigwa risasi akiwa nyumbani kwake tena mbele ya familia yake tarehe 21 mwezi huu wa Januari 21, yamezua malalaiko makubwa dhidi ya mfalme wa Eswatini, Mswati III Vyombo vya habari viliripoti Jumamosi wiki hii tarehe 21 Januaari kwamba Maseko ameuawa kwa…