#uwekezaji

Rais Mwinyi ayakaribisha Madhehebu ya Bohora kuwekeza Zanzibar

Rais Mwinyi ayakaribisha Madhehebu ya Bohora kuwekeza Zanzibar

Unguja. Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi amefanya mazungumzo na kiongozi Mkuu wa Madhehebu ya Bohora (Dawoodi Bohoras) duniani, Syedna Muffaddil Saifuddin na kutoa fursa kwa wafanyabiashara na wawekezaji wa dhehebu hilo kuja kuekeza Zanzibar. Mazungumzo hayo yamefanyika leo Jumapili Julai 3, 2022 Ikulu ya Zanzibar ambapo kiongozi huyo wa Madhehebu hayo akiwa ameambatana ujumbe wake…