Dar es Salaam. Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, imemtangaza Hilda Bujiku kuwa kaimu mkurugenzi mtendaji akichukua nafasi ya Sitholizwe Mdlalose aliyedumu kwenye nafasi hiyo kwa miezi 10. Mdlalose aling’atuka kwenye nafasi hiyo baada ya kuteuliwa kuwa Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom nchini Afrika Kusini. Hilda anapokea kijiti akiwa ni Mtanzania na mwanamke wa kwanza kushika nafasi…