#waislamu

Umoja wa Mataifa: China imekiuka haki za binadamu za Waislamu wa Xinjiang

Umoja wa Mataifa: China imekiuka haki za binadamu za Waislamu wa Xinjiang

Umoja wa Mataifa umetoa ripoti inayoeleza kufanyika ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu dhidi ya Waislamu wa jamii ya Uighur katika jimbo la Xinjiang nchini China. Ripoti hiyo iliyotolewa na Ofisi ya Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa Michelle Bachelet imeeleza kuwa, madai ya mateso ni kweli na kuna uwezekano kwamba…