#wajackoya

Wajackoyah Kuimarisha Biashara Ya Bangi

Wajackoyah Kuimarisha Biashara Ya Bangi

Faraan; Ingawa mwaniaji kiti cha Urais kwa tikiti ya chama chake cha Roots Party Prof George Wajackoyah ni mgeni katika siasa za humu nchini, amejizolea umaarufu kwa kutoa ahadi zake kwamba atahalalisha matumizi na uuzaji wa bangi au marijuana. Prof Wajackoya anasema mauzo ya bhangi ndio suluhu ya matatizo ya kiuchumi yanayokumba nchi hii. Prof…