#wfp

Zaidi ya silimia 90 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha, WFP yatangaza

Zaidi ya silimia 90 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha, WFP yatangaza

Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetangaza kuwa, asilimia 95 ya wananchi wa Afghanistan hawana chakula cha kutosha. Taarifa yay Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) kanda ya Asia-Pasific imeeleza kwamba, katika miezi ya hivi karibuni hali ya kibinadamu nchini Afghanistn imezidi kuwa mbaya na kwamba, idadi ya watu…